Friday 12 September 2014

MSIKITI WA MTAMBANI KINONDONI WAUNGUA MOTO KWA MARA NYINGINE

Filled under:



 

AMSIKITI WA MTAMBANI  KINONDONI


Habari zilizotufikia hivi punde Msikiti wa Mtambani uliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam unateketea kwa moto hivi sasa. Hii ni mara ya pili msikiti huo kutetekea kwa moto baada ya kuungua Agosti 13 mwaka huu. Habari zaidi zitawajia hivi punde.

0 comments:

Post a Comment