Monday 31 March 2014

WALIMU YA AJIRA MPYA WALIOKUBALIWA KUBADILISHIWA VITUO 2014

Filled under:

WALIMU YA AJIRA MPYA WALIOKUBALIWA KUBADILISHIWA VITUO 2014

Ofisi ya Waziri Mkuu na Tawala  za Mikoa na Serikari za Mitaa imebadilishia vituo  kwa walimu wapya mwaka 2014 hii ni kutokana na maombi mbalimbali ya walimu hao,walimu waliokubaliwa ni pamoja na ngazi ya cheti,stashahada na shahada.

Walimu wote walioomba kubadilishwa vituo waangalie majina yao katika orodha iliyotolewa na kama baadhi yao majina yao hawajayaona basi watambue kama maombi yao yajakubalika hivyo basi wanatakiwa kuripoti katika vituo vyao walivyopangiwa mnamo  tarehe  15/03/2013.

Imesisitizwa kuwa tarehe ya kuripoti katika vituo elekezi ni tarehe  10/04/2014 ambaye hataripoti katika kituo chake cha kazi atakuwa amepoteza ajira yake.

Bofya hapa:-











0 comments:

Post a Comment