Monday 31 March 2014

JK AKIONGEA NA MAMIA YA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA

Filled under:



Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia mamia ya Watanzania waishio Uingereza alipokutana nao usiku wa Machi 30, 2014 katika ukumbi wa Sattavis Patidar Centre, Wembley, London, Rais yupo katika ziara ya kiserikali ya  siku tatu kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa Uingereza Mhe David Cameron

0 comments:

Post a Comment