Thursday 30 January 2014

RAIS JK AWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAKE IKULU LEO

Filled under:



Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ,Dkt Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na waziri na manaibu waziri waliokuwa  waliokuwa wakiapishwa ikulu Dar es Salaam leo


Rais Jakaya Kikwete akimwapisha Ummy Mwalimu kuwa Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais 



Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Boniface Simbachawene kuwa,naibu waziri wa ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi
Rais akumuapisha kaika  Saning'o Telele kuwa Naibu Waziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi

Rais akimuapisha Eng.Dr Binilith Satano Mahenge kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira

0 comments:

Post a Comment