Friday 31 January 2014

KINANA AKUTANA NA MADEREVA BODABODA MBEYA

Filled under:





 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishangiliwa kwa nguvu na madereva wa pikipiki za kubebea abiria maarufu kama Boda boda wakati wa kikao na Boda boda hao kilichofanyika ukumbi wa Mtenda ,Soweto Mbeya ikiwa moja ya sehemu za maandalizi ya maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi.





Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na madereva wa Boda boda kwenye ukumbi wa Mtenda ,Soweto mkoani Mbeya.



Sehemu ya Madereva Boda boda waliohudhuria kikao cha Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana 


 Sehemu ya Boda Boda zikiwa nje ya ukumbi wa Mtenda,Soweto mkoani Mbeya wakati kikao cha Madereva Boda Boda na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana

0 comments:

Post a Comment