Sunday 15 December 2013

ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CCM MWANZA AUAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI

Filled under:

 

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza CLEMENT MABINA ameuawa na wananchi wenye hasira kali muda mfupi uliopita katika mgogoro wa ardhi nje kidogo ya jiji la mwanza eneo la kisesa.


Inadaiwa kuwa kulikuwa na kesi mahakamani kuhusiana na eneo hilo lakini kinyume chake Mabina alifikaeneo hilo   leo na kuanza kupanda miti,wananchi walifika eneo hilo na kuanza kumuuliza kulikoni? ndipo alipoanza kurusha risasi hewani na kumjeruhi mwananchi mmoja baada ya risasi hizo kuisha ndipo wananchi walimvamia nakuanza kumpiga na mawe mpaka mauti yakamfika.

0 comments:

Post a Comment