Saturday, 28 December 2013

JAIRO,NYONI WASAMBALATISHWA KIMYAKIMYA

Filled under:

Serikali imewasafisha aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo huku ikimpandisha cheo aliyekuwa Mganga Mkuu wa Serikali Deo Mtasiwa. Nyoni alisimamishwa kazi pamoja na aliyekuwa Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Deo Mtasiwa  na wote kwa pamoja walikuwa na tuhuma za kutumia vibaya madaraka yao wakiwa watumishi...

Posted By Unknown09:22

Monday, 23 December 2013

MGOGORO KATI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI WILAYANI KITETO WANNE WAPOTEZA MAISHA

Filled under:

Mgogoro kati ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto, Manyara umeingia sura mpya baada ya wafugaji wa jamii ya Kimasai kuwavamia wakulima na kusababisha vifo vya watu wanne. Taarifa ya Mkuu wa Polisi Mkoa wa Manyara, Akilimali Mpwapwa, ilieleza kati ya watu hao, watatu walikufa hapo hapo na mmoja akiwa njiani kupelekwa hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma na majeruhi saba. Alisema usiku wa kuamkia Jumamosi, wafugaji waliingiza mifugo...

Posted By Unknown11:23

DK.MGIMWA AZUSHIWA KIFO

Filled under:

WAKATI mawaziri wanne wameng’olewa na wengine walioitwa mizigo wanatarajiwa kutimuliwa wakati wowote, Rais Jakaya Kikwete yupo katika wakati mgumu wa kusaka warithi wa nafasi hizo, Ugumu wa kusaka warithi wa mawaziri hao, umeongezeka zaidi jana baada ya Waziri wa Fedha na Uchumi, Dk. William Mgimwa kuzushiwa kifo kutokana na afya yake kuzorota. Hata hivyo, uvumi huo ulioenezwa kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu za mkononi na kupitia mitandao...

Posted By Unknown11:11

INTERNATIONAL AMBASADOR SCHOLARSHIP AT UNIVERSITY OF WEST LONDON IN UK, 2014

Filled under:

University of West London is offering 100 international ambassador scholarships. Students are eligible to apply for the scholarship if they have been offered a place to study on a full-time undergraduate or postgraduate course at the University of West London, commencing in September 2014. Scholarship will be awarded on a competitive basis to candidates who demonstrate enthusiasm and the ability to be an excellent International Student...

Posted By Unknown09:40

SHANDONG PROVINCIAL GOVERNMENT SCHOLARSHIP FOR INTERNATIONAL STUDENTS IN CHINA, 2014/15

Filled under:

Shandong Provincial Government offers full scholarship for international students. This scholarship is available for pursuing undergraduate and language program at Qingdao University in China.  Applicants shall be foreigners who are sound and age from 18 to 40. Government scholarship will include full tuition Fee, Accommodation Fee, Fee of Comprehensive Insurance for international students in China. The deadline for...

Posted By Unknown09:32

WABUNGE WANG'ANG'ANA KUMNG'OA PINDA

Filled under:

 Baadhi ya wabunge wameanzisha mkakati wa kumwondoa madarakani, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kile wanachodai kuwa hawaridhishwi na utendaji wake serikalini. Hiyo ni dalili kwamba kung’oka kwa mawaziri wanne kutokana na matokeo ya ripoti ya utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili hakujamnusuru Pinda, kwani baadhi ya wabunge wanaendelea na msimamo kwamba naye ajiuzulu kwa kushindwa kuwasimamia...

Posted By Unknown09:11

LOWASA AKANA KUWA RAIS

Filled under:

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowasa amewataka waendesha bodaboda na watu wengine wasimwite Rais kwa sababu wanamtengenezea chuki na uhusiano mbaya na watu. “Mbona mnataka kuniletea uchuro! Mnanitengenezea ugomvi na watu jamani…,” alisema wakati akizindua Shirikisho la Bodaboda Tanzania jana kwenye Viwanja vya Leaders, Dar es Salaam. Lowassa amekuwa akitajwa kuwania urais...

Posted By Unknown08:47

Tuesday, 17 December 2013

MANGARIBA NA WAZAZI WA WATOTO WALIOKEKETWA WAKAMATWA KILIMANJARO

Filled under:

Kamishna wa wilaya katika eneo la Kilimanjaro (Herman Kapufi,) amesema kuwa watu 38 waliokamatwa Jumatatu miongoni mwao ni wazazi wa wasichana waliokuwa wanakeketwa. Alisema kuwa wasichana waliokeketwa wanapokea matibabu. Maafisa wakuu mjini Moshi Tanzania, waliwakamata wanawake 38 mnamo siku ya Jumatatu waliopatikana wakiwakeketa wasichana katika eneo hilo. Haijulikani...

Posted By Unknown10:13

LEMA AIKALI KIDEDEA KAMATI YA BUNGE KUTOKANA NA KUTOZUNGUMZIA SUALA LA BOMU KWENYE MKUTANO CHADEMA

Filled under:

Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema ameeleza kushangazwa na hatua ya kamati ya Bunge kukwepa kuzungumzia suala la kurushwa bomu kwenye mkutano wa chama chake huko Arusha, Julai 15, mwaka huu. Akichangia mjadala wa taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Ulinzi na ya Mambo ya Nje, bungeni jana, Lema alisema kamati hizo ziligusia suala la bomu lililorushwa kwenye Kanisa Katoliki Olasiti, Arusha na kuachana...

Posted By Unknown06:15

AMATUSI LIYUMBA ASAKAMWA NA KESI YA KUKUTWA NA SIMU GEREZANI

Filled under:

Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba anayekabiliwa na kesi ya kukutwa na simu gerezani, ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imfutie shtaka hilo na kumuachia huru kwa madai kuwa kesi hiyo ilipangwa kwa ajili ya kumkomoa. Liyumba aliyaeleza hayo jana wakati akijitete mbele ya Hakimu Mkazi, Augustina Mmbando anayetarajia kutoa hukumu ya kesi hiyo,...

Posted By Unknown06:01

SANAMU YA NELSON MANDELA YAZINDULIWA

Filled under:

Rais Jacob Zuma amezindua sanamu ya shaba ya shujaa wa Afrika, Nelson Mandela kwenye jengo la Muungano lililopo mji wa Pretoria. Sanamu hiyo yenye urefu wa mita tisa humuonyesha Mandela akitabasamu, huku akiwa ameonyesha ishara ya kukumbatia. Wakati akizindua sanamu hiyo jana, Rais Zuma alisema kwamba sanamu nyingi za Mandela zinamuonyesha akinyoosha mkono wake mmoja juu...

Posted By Unknown05:46

Sunday, 15 December 2013

ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CCM MWANZA AUAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI

Filled under:

  Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza CLEMENT MABINA ameuawa na wananchi wenye hasira kali muda mfupi uliopita katika mgogoro wa ardhi nje kidogo ya jiji la mwanza eneo la kisesa. Inadaiwa kuwa kulikuwa na kesi mahakamani kuhusiana na eneo hilo lakini kinyume chake Mabina alifikaeneo hilo   leo na kuanza kupanda miti,wananchi walifika eneo hilo na kuanza kumuuliza kulikoni? ndipo alipoanza kurusha risasi hewani na...

Posted By Unknown04:42

ONLINE DISTANCE LEARNING SCHOLARSHIPS, 2014

Filled under:

Online distance learning enables various students to get quality education with their busy schedule from anywhere. Today various students are accessing massive online courses of various international universities. Some students also apply for online education as they cannot afford for the conventional courses. Many universities and institutes are offering scholarship programmes for those students to continue their studies in a distance...

Posted By Unknown03:54

MBOWE KUNENA MACHACHE NA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU MWANZA

Filled under:

Katika kuzindua Mkoa wa Wanafunzi wa Elimu ya Juu jijini Mwanza Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ameeleza mambo mazito ambayo yanaweza kutafsiriwa kama somo kubwa kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini, vijana na wanachama wa chadema kwa ujumla wake. Akihutubia mamia ya wanafunzi wa vyuo vikuu katika kiwanja kilichopo ofisi za Kanda ya Ziwa Magharibi eneo la Bwiru, mwenyekiti huyo wa CHADEMA ambaye pia ni mbunge wa Hai aliongea mambo kadhaa...

Posted By Unknown03:20

KAULI YA PINDA HAINA MASHIKO

Filled under:

Baadhi ya wanasiasa na wanaharakati wamemkosoa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutokana na kutamani kung’olewa kwenye nafasi, wakidai kuwa kauli yake inaonyesha jinsi alivyo mpole na dhaifu kiutendaji . Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Hellen Kijo-Bisimba ayezungumza na gazeti hili jana kwa njia ya simu alisema kuwa kauli ya Waziri Mkuu Pinda imeonyesha kwamba ana tatizo la kutokujiamini. “Kazi...

Posted By Unknown02:49

Friday, 13 December 2013

LUKUVI AJA NA SHERIA MPYA DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA

Filled under:

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, amesema sheria mpya dhidi ya dawa za kulevya ambayo Serikali inatarajia kuifikisha bungeni mwakani, itahamasisha watumiaji/wafanyabiashara wadogo wa dawa za kulevya kuwataja wafanyabiashara wakubwa wa dawa hizo. Aidha alisema sheria hiyo inatarajiwa kuanzisha kitengo maalum cha mahakama ambacho kitakuwa na kazi ya kusikiliza kesi zinazohusu dawa za kulevya...

Posted By Unknown10:53

ZITTO AMTAKA WAZIRI ANAYEHUSIKA NA KUSIMAMIA( NEC) ACHUKULIWE HATUA KUTOKANA NA RUSHWA

Filled under:

Wakati Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe akitaka waziri anayehusika na kusimamia Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC) achukuliwe hatua kutokana na zabuni yenye harufu ya rushwa, imebainika kuwa hukumu iliyotolewa na Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma (PPAA), imesema kampuni iliyoshinda zabuni hiyo ilishiriki kuandaa nyaraka za zabuni. Hukumu hiyo, ni ile inayohusu kampuni ya zabuni za kuandaa...

Posted By Unknown10:08

PINDA ASEMA YUPO TAYARI KUACHIA NGAZI

Filled under:

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amevunja ukimya na kusema yuko tayari kuachia ngazi endapo tu Rais Jakaya Kikwete ataamua kumwondoa na kama itatokea hivyo, atamshukuru Rais kwa kumwambia, ahsante. Pinda aliliambia Bunge mjini Dodoma jana kwamba endapo Rais hatafanya hivyo, bado wabunge wanayo mamlaka ya kikatiba ya kumwondoa kwa njia ya kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye. Ibara...

Posted By Unknown09:43