Thursday, 25 September 2014

HOTEL YA BLUE PEAR YA UBUNGO YAFUNGWA KISA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Filled under:

  Fanicha za hoteli ya Blue Pearl viitolewa nje. (picha: The Citizen) Huduma za hoteli ya Blue Pear ya Ubungo jijini Dar es Salaam imefungwa baada ya mmiliki kuripotiwa kushindwa kulipa fedha ya pango inayokadiriwa kufikia shilingi bilioni sita ($3,800,000). Gazeti la The CITIZEN linaripoti kuwa juzi mchana maafisa wa kampuni ya Majembe Auction Mart walifika katika eneo la hoteli hiyo na kuanza kutoa fanicha nje kisha kuzipakia...

Posted By Unknown23:50

VIPEPERUSHI VYENYE MANENO YA VITISHO VYASAMBAZWA DODOMA

Filled under:

WanaCCm walifika katika jengo lao leo Alhamisi, Septemba 25, 2014, Dodoma na kukuta limeandikwa maneno kwa rangi nyekundu "NO KATIBA UFISADI " na kama hilo halitoshi kukawepo vipepersuhi vinasambazwa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amesema tarehe 25/09/2014 alfajiri vimeokotwa vipeperushi maeneo mbalimbali mjini Dodoma vyenye ujumbe ufuatao: ONYO – DODOMA SI MAHALI PA KUFUGA WEZI...

Posted By Unknown23:27

WARAKA WA MLIMANDAGO ALIVYOMCHAFUA DIALO KWA KUMLIPUA LOWASA

Filled under:

NAIBU Waziri wa zamani wa Maji, Anthony Diallo, amesema dhana inayojengwa kwamba Mradi wa Maji wa Ziwa Victoria ulifanikishwa kwa nguvu ya aliyekuwa Waziri, Edward Lowassa, ni potofu na afadhali angetajwa yeye. Katika mazungumzo na Raia Mwema yaliyofanyika mjini Mwanza wiki hii na ambayo yatachapishwa katika gazeti dada la hili la Raia Tanzania kesho, Diallo ambaye sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza, ameweka wazi...

Posted By Unknown23:15

Monday, 22 September 2014

JOB OPPORTUNITIES AT TANZANIA BROADCASTING CORPORATION (TBC)

Filled under:

TANZANIA BROADCASTING CORPORATIONThe Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) is a Public Service Broadcasterestablished by Government Order in 2007 and became operational on the 1stof July 2007 replacing the then Tanzania Broadcasting Services – TaasisiyaUtangazaji Tanzania (TUT). TUT was established in the year 2002 pursuant to Public Corporation Act No 2 of 1992, Government Notice No 23 of 14th June 2002. Its formation was a result of a merger of Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) which was established in 1972 and TelevisheniyaTaifa (TVT)...

Posted By Unknown00:35

JOB OPPORTUNITIES AT THE ST.AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA (SAUT)

Filled under:

The St. Augustine University of Tanzania (SAUT) is a private higher learning Institution Owned by Tanzania Episcopal Conference (TEC) with a vision of holistic development of a person and respect of human dignity. SAUT is an equal opportunity employer and it intends to recruit competent academicians capable to impart professional skills and inculcate civic and social values to students that will make them better citizens. The applicants are required to fill the following vacant positions:- 1.0 Assistant Lecturer 1.1 Language and Linguistics...

Posted By Unknown00:25

Friday, 12 September 2014

JINSI YA KUENDELEA KUWA MLIMBWENDE KIPINDI CHA UJAUZITO MPAKA KUJIFUNGUA

Filled under:

Kipindi cha ujauzito wanawake wengi hujikuta wakiacha kuzingatia hatua mbalimbali za kujitunza ili kubaki warembo, matokeo yake hupoteza mvuto. Hali hiyo inaweza kuendelea hata baada ya kujifungua na huenda ikawa mbaya zaidi kwa kuwa mara nyingi kipindi hicho mama hujikuta akitumia muda mwingi kumwangalia mtoto. Kujifungua au ujauzito haiwezi kuwa sababu ya mwanamke...

Posted By Unknown08:35

SITTA ASHAMBULIWA KAMA MWEWE

Filled under:

Samuel Sitta Mpango wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta wa kutaka ya wajumbe wake walioko nje ya nchi kupiga kura kupitisha Katiba inayopendekezwa, umepingwa na wasomi, ukielezwa ni kinyume na kanuni za Bunge na sheria za nchi. Wasomi hao, wanaharakati na wanasiasa wamesema Tanzania haina utaratibu wa raia wake kupiga kura wakiwa nje ya nchi na kwamba hiyo ni mbinu ya kufanya udanganyifu. ...

Posted By Unknown04:33

MWANAUME APATA HISIA ZA UJAUZITO

Filled under:

Harry Ashby ni mwanaume wa kwanza nchini Birmingham kupata ruhusa ya kupumzika nyumbani baada ya kusumbuliwa na homa mithili ya mwanamke mja mzito.   Harry Ashby ameripotiwa kuwa na dalili za ujauzito kama mchumba wake Amekuwa akipatwa na homa za vipindi hasa nyakati za asubuhi baada ya mchumba wake aitwae Charlotte kuwa mjamzito, mtandao wa Itv news umeeleza. Habari zinasema mwanaume huyo mwenye miaka 29 anayefanya kazi ya...

Posted By Unknown04:03

OSCAR PISTORIUS ASUBIRI HUKUMU BAADA YA KUUA BILA KUKUSUDIA

Filled under:

  OSCAR PISTORIUS Jaji wa mahakama kuu ya Afrika Kusini Thokozile Masipa anaendelea hii leo kutoa hukumu yake dhidi ya kesi ya mauaji inayomkabili mwanariadha wa Olimpiki Oscar Pistorius huko Afrika Kusini. Tayari amemuondolea makosa ya mauaji, na badala yake Pistorious anakabiliwa na makosa ya kuua bila kukusudia. Katika uamuzi wake huo wa kumuondolea Mwanariadha Oscar Pistorius mashtaka ya mauaji ,jaji Thokozile Masipa alisema...

Posted By Unknown03:57

MSIKITI WA MTAMBANI KINONDONI WAUNGUA MOTO KWA MARA NYINGINE

Filled under:

  AMSIKITI WA MTAMBANI  KINONDONI Habari zilizotufikia hivi punde Msikiti wa Mtambani uliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam unateketea kwa moto hivi sasa. Hii ni mara ya pili msikiti huo kutetekea kwa moto baada ya kuungua Agosti 13 mwaka huu. Habari zaidi zitawajia hivi pund...

Posted By Unknown03:44

Sunday, 7 September 2014

TAARIFA YA BENKI KUU KUHUSU TOLEO LA SHILINGI MIA TANO MPYA

Filled under:

Mkurugenzi Huduma za Kibenki kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bw. Emmanuel Boaz (kulia) na Mshauri wa Fedha kutoka ofisi hiyo Bw. Hassan Jarufu wakiwaonesha waandishi wa Habari(Hawapo Pichani) Toleo jipya la sarafu ya Shilingi 500 inayotarajiwa kuingizwa kwenye mzunguko kuanzia mwezi Oktoba 2014. (picha: Hassan Silayo/Maelezo)  Benki Kuu ya Tanzania ndiyo chombo chenye jukumu la kutoa sarafu na noti halali (legal tender) zinazotumika...

Posted By Unknown09:44

DK KINGWANGALLA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS 2015

Filled under:

Ndugu viongozi mlioko hapa, wageni waalikwa, wanahabari na watanzania wenzangu mnaonisikiliza;Ni heshima kubwa sana kwangu kupata fursa hii. Ni katika nchi chache sana duniani, mtoto wa maskini kama mimi, aliyewahi kutembea mitaani akiuza karanga, Big G, maandazi, jerebi na samaki ili kusaidia wazazi kupata chochote kwa ajili ya kulisha familia anaweza kuota kuwa Rais wa nchi yake. Kwamba, mtoto aliyeenda shule bila viatu anaweza kuwa Daktari....

Posted By Unknown09:35

AL SHABAB WATANGAZA KIONGOZI MPYA BAADA YA KIFO CHA GODANE

Filled under:

Kundi la al-Shabab la nchini Somalia limemchagua Ahmed Umar (Ahmad Omar au Abu Ubaidah) kuwa mridhi wa Ahmed Abdi Godane (Abu Zubeyr) aliyeuawa katika mashambulizi yaliyoongozwa na Marekani siku ya Jumatatu kuamkia Jumanne ya wiki iliyopita.Katika taarifa yake iliyonukuliwa na kituo cha habari cha Al Jazeera, kundi hilo limeapa kulipiza kisasi kwa mauaji ya mmoja wa waasisi wao likisema kuwa kifo cha mwanazuoni na kiongozi wao kinawalazimu kujitwika mabegani jukumu la malipo ambalo hawataliangusha wala kulisahau bila kujali muda wa...

Posted By Unknown09:20