Friday, 28 February 2014

MAPACHA WALIOTENGANISHWA WAWASILI SALAMA KYELA

Filled under:

Kyela. Mamia ya wakazi wa Kijiji cha Kasumulu eneo la ‘Juakali’, wilayani Kyela Mkoa wa Mbeya, jana walimiminika nyumbani kwa mama wa watoto pacha, Grace Joel ili kushuhudia jinsi walivyotenganishwa baada ya kufanyiwa upasuaji nchini India hivi karibuni. Watoto hao pacha, waliozaliwa wakiwa wameungana eneo la kiunoni, waliwasili na mama yao nyumbani kwao wilayani Kyela na kulakiwa na wanakijiji wengi. ...

Posted By Unknown23:14

MINIMUM WAGES IN TANZANIA WITH EFFECT FROM 2013-2016

Filled under:

  Minimum Wages in Tanzania with effect from 01-07-2013 to 30-06-2016 Revision is expected. Information last updated on this page: 06-02-2014 The minimum wage rates in the table are in TZS (TZ Shilling) Sector Area Minimum...

Posted By Unknown22:24

FAHAMU NJIA SAHIHI ZA KUCHAGUA MTU WA KUISHI NAYE

Filled under:

MARA nyingi vijana hupata taabu sana katika suala la kuchagua mchumba. Vijana wa kiume ndio hasa hupata wakati mgumu zaidi kwani jamii imewapa wajibu wa kuanzisha mazungumzo  yahusianayo na mapenzi. Hata hivyo, vijana wa kike nao wanao wajibu wa kuchagua ili kuhakikisha kuwa hawaanguki mikononi mwa mabazazi wa kuwalaghai na kuwatumia kwa raha za miili yao kisha kuwaacha kwenye mataa. Ni jambo la kawaida kwa vijana walio wengi, wawe...

Posted By Unknown11:55

DOGO ASLAY ATIRIRIKA KUHUSU MATOKEO YAKE YA KIDATO CHA NNE

Filled under:

 BAADA ya kupata matokeo mabaya kidato cha nne, kinda wa muziki wa kizazi kipya nchini, Asilahi Isihaka ‘Dogo Aslay’ amesema anatarajia kusoma chuo cha muziki ili kukuza kipaji chake. Akizungumzia matokeo hayo, Aslay alisema hajasikitika sana kupata matokeo hayo na wala hajakata tamaa ya kuendelea kusoma, kwani anataka kusomea muziki kwa lengo la kuongeza ‘mautundu’ katika kazi zake. “Nimepata 4 ya pointi 32, kwa sababu...

Posted By Unknown11:12

NYALANDU AFIKISHA ORODHA YA WATU 320 WANAOJIHUSISHA NA UJANGILI

Filled under:

PAMOJA na serikali kutotaja majina ya watu 40 ambao Rais Jakaya Kikwete alisema ndio mtandao wa ujangili nchini, akiwemo tajiri maarufu mkoani Arusha, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesisitiza kuwa orodha hiyo si ya kutengeneza na kwamba itawekwa hadharani muda wowote.  Alisema kuwa wanayo majina zaidi ya 320 ya watu wanaojihusisha na ujangili na kuonya wahusika kuachana na biashara hiyo huku akitamba kuwa serikali...

Posted By Unknown11:06

KURA YA WAZI YA RASIMU YA KATIBA ITALETA UHASAMA

Filled under:

HATULITAKI Kundi dogo la watu wenye nguvu ya Fedha na matakwa yao binafsi miongoni mwa wajumbe wa Bunge la katiba, wanaopinga kura ya siri wakitaka iwepo kura ya wazi bungeni humo, ambayo tuna imani kubwa kwa vyovyote italeta Uhasama.Tumekuwa tukishuhudia Viongozi wa Serikali na Wabunge wao, wakijifungia kwenye kumbi kuweka misimamo na maagizo ya vyama vyao! Ningetoa rai tusingependa kuona kura ya wazi yenye majanga, visa, vifo na umwagaji...

Posted By Unknown10:52

Thursday, 27 February 2014

SLAA:KUMPITISHA CHENGE NI MAJANGA

Filled under:

Wakati  Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge, akitajwa kuwa miongoni mwa wajumbe wa Bunge la Katiba watakaowania uenyekiti wa bunge hilo, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amesema mbunge huyo hafai kwa kuwa uadilifu wake una walakini.Dk. Slaa amewapa angalizo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakiwamo wa kutoka chama chake kwamba watajuta kwa miaka mingi iwapo watamchagua Chenge...

Posted By Unknown05:38

ITS MASTER'S SCHOLARSHIP FOR UK,INTERNATIONAL STUDENT IN UK 2014/15

Filled under:

The Institute for Transport Studies (ITS) at University of Leeds is offering masters scholarships for UK, EU or international students. Applicants must first hold an offer (conditional or unconditional) of an academic place on an ITS Masters programme for the academic year commencing September 2014. The scholarships provide a 50% tuition fee waiver for the 2014-15 academic year. Application should be submitted till 12th June...

Posted By Unknown05:17

WIT INTERNATIONAL STUDENT SCHOLARSHIPS IN IRELAND,2015

Filled under:

Waterford Institute of Technology is offering international scholarships for pursuing undergraduate or a Higher Diploma programme and taught Masters programmes. Scholarship will provide a 25% reduction in tuition fees for each year of an undergraduate or a Higher Diploma programme and a reduction of €3150 for all taught Masters programmes. Application should be submitted till 31st May 2014 for September 2014 intake. Study Subject...

Posted By Unknown05:10

DENMARK SCHOLARSHIP,2014

Filled under:

Do you aspire to take up your study in Denmark? Luckily, there are a wide range of scholarships in Denmark that you can look out in 2014. Denmark has emerged as a leading destination for overseas students anticipating for an international education. All the available scholarships in Denmark assist both Danish and international students to pursue their studies in Denmark as well as in any part of the world by offering excellent financial...

Posted By Unknown05:03

Wednesday, 26 February 2014

UGANDA YAHOFIA KUNYIMWA MISAADA KISA!!!!!

Filled under:

Waziri wa mambo ya nje nchini Uganda, Sam Kutesa amesema ana wasiwasi kuwa Marekani huenda ikasitisha msaada wake kwa taifa hilo baada ya Rais Yoweri Museveni kuidhinisha sheria dhidi ya ushoga nchini humo.  A Bwana Kutesa amesema kuwa watu sharti wawe na maadili na kukubali msaada. Balozi wa Marekani nchini Uganda Scott DeLisi, awali aliitaka serikali ya Uganda, kubatilisha sheria hiyo. ...

Posted By Unknown10:17

SLAA:ANAYETAKA KUONDOKA CHADEMA RUKSA

Filled under:

  KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema kuwa mbunge au diwani anayetaka kuondoka CHADEMA milango iko wazi, kwa sababu hawawezi kumvumilia kiongozi msaliti wa chama. Dk. Slaa alitoa msimamo huo jana wakati akimnadi mgombea ubunge wa CHADEMA jimboni Kalenga, Grace Tendega, katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa mnadani, Kijiji cha Kidamali, Kata ya Nzihi huku akisisitiza...

Posted By Unknown09:30

Tuesday, 25 February 2014

ANASWA MUHIMBILI AKIDAIWA KUFANYA MATIBABU KINYEMELA

Filled under:

Maofisa Usalama wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamemkamata mtu anayedaiwa kutoa huduma kwa wagonjwa kinyume cha utaratiba na kwamba, amekuwa akiwatapeli wagonjwa wanaokwenda kupata matibabu.   Akizungumza ofisini kwake jana, Ofisa Uhusiano wa MNH, Aminieli Eligaesha alimtaja mtuhumiwa huyo kuwa ni Mustafa Kitano na kwamba, amekuwa akitumia majina ya Dk Nyirabu na Koba, alikamatwa wakati akimsaidia...

Posted By Unknown19:54