Friday, 31 January 2014

JE WAFAHAMU NJIA YA ASILI YA KUTIBU MARADHI YA KUTOPATA CHOO

Filled under:

MARADHI YA KUTOPATA CHOO (CONSTIPATION): Haya ni maradhi ambayo mgonjwa huwa hapati choo kwa wepesi. Haja kubwa inaweza kutoka baada ya siku moja au mbili au zaidi na ikitoka huwa ni kigumu na hutoka kwa shida na wakati mwingine huwa kama cha mbuzi. Wagonjwa wengine hupata maumivu wakati wa kwenda haja kubwa. Mtu mwenye afya nzuri hupata haja kubwa kwa kiwango cha chini mara moja kwa siku. Na choo huwa laini na hutoka bila matatizo.  SABABU...

Posted By Unknown23:26

WAFANYAKAZI WALAZIMISHWA KUSHIRIKI SIKU YA KUZALIWA KWA CCM

Filled under:

...

Posted By Unknown22:31

ROMANIAN GOVERNMENT OFFERS 85 SCHOLARSHIPS 2014/15

Filled under:

Romanian Government is offering 85 scholarships for citizens of non EU countries. Priority will be given to the candidates applying for: political and administrative sciences, education studies, Romanian culture and civilization, journalism, technical studies, oil and gas, agricultural studies, veterinary medicine, architecture and arts. Scholarships are granted for three levels of study: licenta, master and doctorate....

Posted By Unknown22:24

KINANA AKUTANA NA MADEREVA BODABODA MBEYA

Filled under:

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishangiliwa kwa nguvu na madereva wa pikipiki za kubebea abiria maarufu kama Boda boda wakati wa kikao na Boda boda hao kilichofanyika ukumbi wa Mtenda ,Soweto Mbeya ikiwa moja ya sehemu za maandalizi ya maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na madereva wa Boda boda kwenye ukumbi wa Mtenda ,Soweto...

Posted By Unknown22:16

GOOGLE EUROPE SCHOLARSHIP FOR STUDENT WITH DISABILITIES, 2014/2015

Filled under:

Google is offering scholarships for students with disabilities who are currently enrolled at a university in Europe for the 2013-2014 academic year. Scholarships are available for pursuing Bachelor’s, Master’s or PhD degree at a university in Europe. Scholarships will be awarded on the basis of strength of the applicant’s academic background, leadership skills and demonstrated passion. Recipients of the Google scholarship for students...

Posted By Unknown11:32

JEANNETTE RANKIN FUND (JRF) SCHOLARSHIP FOR WOMEN IN USA, 2014/15

Filled under:

Applications are invited for Jeannette Rankin Fund (JRF) Scholarship to low-income women, 35 and older who are pursuing undergraduate degrees at accredited colleges and universities. These scholarships are awarded without regard to race, creed, religion, color, ancestry, marital status, sexual orientation, gender identity and expression, national origin or disability. These JRF scholarships are for $2,000...

Posted By Unknown11:20

JE WAJUA,KITUNGUU SAUMU NI DAWA INAYOPONYESHA MAGONJWA MBALIMBALI

Filled under:

Kitunguu saumu ni miongoni mwa viungo muhimu vya chakula hapa nchini, ingawa watu wengi hukitumia kwa kuongeza harufu kwenye chakula bila kufahamu matumizi yake yenye manufaa kiafya Harufu yake siku za sikukuu, umuhimu wake kwenye chakula kipendwacho na wengi Tanzania yaani pilau, umekifanya kuwa kiungo muhimu cha chakula nchini. Kwa sasa  umaarufu wake umeenda mbali zaidi baada ya wanasayansi kubaini...

Posted By Unknown08:45

CHADEMA YAITAKA SERIKALI KUMNYANG'ANYA MWEKEZAJI WA KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA

Filled under:

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka serikali kumnyang’anya  Mwekezaji wa kiwanda cha sukari Mtibwa rasimali hiyo, kwa kuwa ameshindwa kuwalipa wakulima na Wafanyakazi, hivyo kutishia maisha, ustawi, maendeleo, uchumi na afya wananchi zao. Hayo yamesemwa na Diwani wa Kata ya Mtibwa, Luka Mwakambaya (CHADEMA), ikiwa ni siku chache baada ya Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Antony Mtaka, kusimamisha uzalishaji...

Posted By Unknown08:14

CCM YAMWANDALIA ZITTO HELIKOPTA KURUKA MIKOANI ILI KUPAMBANA NA CHADEMA

Filled under:

USHINDANI wa kisiasa kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umefikia hatua mpya baada ya CCM kuibuka na mkakati wa kumtumia Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kupambana na CHADEMA waziwazi.   Katika mkakati huo CCM imepanga kukodisha helikopta ya kumpeleka Zitto katika mikoa minne kwa gharama ya sh milioni 50 mara tu baada ya CHADEMA kuhitimisha Operesheni yao ya M4C Pamoja Daima. Kwa...

Posted By Unknown06:28

CHADEMA WASUSIA BUNGE LA KATIBA MPYA

Filled under:

Wakati Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akisema wabunge wa chama chake watasusia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ikiwa hoja ya kuundwa kwa Serikali tatu itapingwa na wabunge wa CCM, Mwakilishi wa Mji Mkongwe (CUF), Ismail Jussa Ladhu ametaka kuvunjwa kwa Muungano. Akihutubia kwenye Uwanja wa Tubuyu nje kidogo ya Mji wa Morogoro juzi, Mbowe alisema wabunge wa chama chake wataandamana nchi nzima kufikisha ujumbe kwa wananchi kwamba...

Posted By Unknown03:15

Thursday, 30 January 2014

TFDA IMEINGIA KATIKA KASHFA BAADA YA KUMUAJIRI MTUMISHI ASIYE NA CHETI CHA TAALUMA YOYOTE.

Filled under:

MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeingia kwenye kashfa ya kumwajiri mtumishi asiye na cheti cha kitaaluma kuwa msaidizi wa maabara ya dawa kuanzia Desemba 2, 2013. Mkurugenzi wa TFDA, Hiiti Sillo, jana alithibitisha kufanyika kwa udanganyifu huo lakini akafafanua kuwa baada ya kujiridhisha na tuhuma hizo, mtumishi huyo, Pilly Komba Kilongosi, amekabidhiwa barua ya kuachishwa kazi rasmi kuanzia Januari 28, 2014. Uchunguzi...

Posted By Unknown09:35

RAIS JK AWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAKE IKULU LEO

Filled under:

Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ,Dkt Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na waziri na manaibu waziri waliokuwa  waliokuwa wakiapishwa ikulu Dar es Salaam leo Rais Jakaya Kikwete akimwapisha Ummy Mwalimu kuwa Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais  .  Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Boniface Simbachawene kuwa,naibu waziri wa ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi Rais akumuapisha...

Posted By Unknown07:43

Wednesday, 29 January 2014

MBOWE ASEMA, DC MTAKA AMEKURUPUKA

Filled under:

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amemnyoshea Kidole Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Antony Mtaka, akidai uamuzi wake wa kufunga Kiwanda cha Mtibwa hadi kitakapolipa madeni ya wakulima na Wafanyakazi , ‘amekurupuka’.  Mbowe alitoa kauli hiyo leo (jana) kufuatia malalamiko ya wananchi walioshitushwa na uamuzi wa Serikali kupitia kwa Mkuu wa wilaya hiyo, kuamua kufunga kiwanda badala ya kumnyang’anya...

Posted By Unknown20:02

ISLAMIC DEVELOPMENT BANK OFFERS SCHOLARSHIP FOR MUSLIM COMMUNITIES,2014

Filled under:

Islamic Development Bank offers Scholarship Programme for Muslim Communities in Non-Member Countries. Scholarships are provided in the field of Medicine, Engineering, Agriculture and other fields related to these disciplines. The Programme provides scholarship to the academically meritorious but financially needy young Muslim students to pursue undergraduate or first-degree study in professional...

Posted By Unknown12:21