
MARADHI YA KUTOPATA CHOO (CONSTIPATION):
Haya ni maradhi ambayo mgonjwa huwa hapati choo kwa wepesi. Haja
kubwa inaweza kutoka baada ya siku moja au mbili au zaidi na ikitoka
huwa ni kigumu na hutoka kwa shida na wakati mwingine huwa kama cha
mbuzi. Wagonjwa wengine hupata maumivu wakati wa kwenda haja kubwa. Mtu
mwenye afya nzuri hupata haja kubwa kwa kiwango cha chini mara moja kwa
siku. Na choo huwa laini na hutoka bila matatizo.
SABABU...