Thursday, 22 May 2014

TAARIFA YA BAVICHA ILIYOTOLEWA KUHUSU UKAWA

Filled under:

TAARIFA KWA UMMA UPOTOSHWAJI NA PROPAGANDA CHAFU DHIDI YA CHADEMA/UKAWA NA KIKUNDI KILICHOJIVIKA VYEO HEWA Zimetolewa taarifa kwenye vyombo mbalimbali vya habari na mtu anayejitambulisha kwa jina la Fikiri Migiyo na ambaye amejitambulisha pia kama Mwenyekiti wa Mabaraza ya kanda ya Ziwa Magaharibiinayojumuisha mikoa ya Mwanza, Simiyu, Kagera na Geita akipinga kuundwa kwa umoja wakutetea katiba ya wananchi (UKAWA) Aidha mtu huyo anayejitambulisha na BAVICHA ameenda mbali kwa kutoasiku 14 kwa CHADEMA kujiondoa kwenye UKAWA na pia kulaani...

Posted By Unknown21:50

BIBI AKAMATWA UWANJA WA NDEGE AKIWA AMEMEZA KETE 82

Filled under:

Dar es Salaam. Bibi mmoja raia wa Nigeria, Olabisi Ibidun Cole (65) amevunja rekodi ya umri wa watu wanaokamatwa wakiwa na dawa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA). Cole alikamatwa Jumatatu akiwa amemeza kete 82 aina ya heroini zilizokuwa zimefungwa kwenye karatasi zinazofanana na ganda la sigara, ambazo si rahisi kuonekana katika mitambo. ...

Posted By Unknown21:29

BOKO HARAM WAFANANISHWA NA MAGAIDI WA KIMATAIFA

Filled under:

Baraza la Usalama la UN Baraza la usalama la umoja wa mataifa hatimaye limeidhinisha kuwekewa vikwazo kundi la Boko Haram baada ya utekaji nyara wa takriban wasichana 300 wa shule katika eneo la Chibok Nigeria. Kundi hilo limeshutumiwa kuwaua maelfu ya watu nchini Nigeria katika miaka michache iliyopita. Nigeria ni mwanachama wa baraza la usalama la Umoja wa mataifa kwa kipindi cha miaka miwili. Kwa nafasi hii imeweza kushinikiza baraza hilo...

Posted By Unknown21:15

TAHADHARI YA PSPF KUHUSU UJUMBE WA KITAPELI

Filled under:

                                                                                                 ...

Posted By Unknown04:25

WAZIRI AJIUWA BAADA YA KUSHINDWA UCHAGUZI MALAWI

Filled under:

Naibu waziri wa serikali za mitaa wa Malawi amejipiga risasi na kujiua nyumbani kwake mjini Lilongwe. Godfrey Kamanya alikuwa anayegombea kutetea kiti chake cha ubunge katika jimbo la Nzonzi Kusini amejiua alfajiri ya leo katika mojawapo ya vyumba vya nyumba yake iliyopo Area Ten mjini Lilongwe. Mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali kuu ya Kamuzu mjini humo, na jeshi la polisi litatoa taarifa rasmi ya kifo hicho baada kukamilisha uchunguzi. Haijajulikana sababu za Kamanya kujiua japokuwa ameacha barua ya maelezo ambayo polisi...

Posted By Unknown04:11

Tuesday, 20 May 2014

UNDP JOBS OPPORTUNITIES FOR TANZANIANS

Filled under:

A program is about to start in Tanzania, funded by Bill Merinda Gate Foundation, for transformation of the agricultural industry. Someone says they have failed to find qualified Tanzanians to fill the positions indicated below so they have to recruit from a neighboring country. Please prove them otherwise. Though it may seem closed, UNDP will still welcome good candidates. Please write to Ernest Salla at ernest.salla@undp.org when...

Posted By Unknown10:08

UTATA WABAINISHWA KUHUSU KIFO CHA MENEJA WA EWURA

Filled under:

Wakati kukiwa na utata wa kifo cha Meneja wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), imebainika kuwa tofauti ya takwimu kati ya mamlaka hiyo na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), iliyotolewa kwenye Kamati ya Bunge ya Bajeti ni Sh25 bilioni. Meneja huyo, Julius Gashaza alikuwa akihudhuria kikao kilichokuwa kikijadili tofauti hiyo bungeni Dodoma na baadaye aliporudi Dar es Salaam akakutwa amejinyonga hotelini huku ikielezwa kuwa alirudi akiwa amejawa hofu na kukosa amani.Vyanzo vyetu ndani ya kamati hiyo vimeeleza...

Posted By Unknown09:50

MILIPUKO MIWILI YATOKEA KATIKA SOKO

Filled under:

Milipuko hiyo imetokea katika soko ambalo lina shughuli nyingi na ambalo lilikuwa na msongamano wa watu eneo la Kati mwa Nigeria. Mwandishi wa BBC Ishaq Khalid aliye mjini humo anasema kuwa kuna hofu ya watu wengi kujeruhiwa hasa kwa kuwa soko hilo lilikuwa na idadi kubwa ya watu. Haijulikani kilichosababisha milipuko hiyo mjini Jos, mji ambao umeshuhudia mashambulizi makali kati ya wakristo na waisilamu. Kundi la Boko Haram, pia limekuwa likifanya mashambulizi...

Posted By Unknown09:33

Tuesday, 6 May 2014

KAMPUNI YA COCA-COLA YAAMUA KUONDOA KIUNGO TATANISHI KATIKA VINYWAJI VYAKE

Filled under:

Bidhaa ya BVO tayari imeondolewa katika Kinywaji cha Powerade chenye ladha tofauto tofauti Kampuni kubwa zaidi ya vinywaji duniani Coca-Cola, inapanga kuondoa kiungo tatanishi katika baadhi ya vinywaji vyake ifikapo mwishoni mwa mwaka huu. Hii ni kufuatia shinikizo kutoka kwa wateja wa vinywaji hivyo nchini Marekani waliotia saini ujumbe wa kusihinikiza kampuni hio kuondoa kiungo hicho kupitia kwenye matandao.  Kiungo hicho ni kemikali...

Posted By Unknown11:04

HOTUBA YA WAZIRI MKUU MZENGO PINDA YA MAKADIRIO NA MATUMIZI YA FEDHA YA OFISI YA WAZIRI MKUU NA BUNGE 2014/15

Filled under:

HOTUBA  YA  WAZIRI  MKUU,  MHESHIMIWA  MIZENGO  PETER  PINDA (MB),  KUHUSU MAPITIO NA MWELEKEO WA KAZI ZA SERIKALI NA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA OFISI YA WAZIRI MKUU NA OFISI YA BUNGE KWA MWAKA 2014/2015 UTANGULIZI 1.            Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba, kutokana na Taarifa zilizowasilishwa katika Bunge lako Tukufu na Wenyeviti wa Kamati za Katiba, Sheria na Utawala; Kamati ya Tawala za Mikoa na Serikali...

Posted By Unknown10:41