TAARIFA KWA UMMA
UPOTOSHWAJI NA PROPAGANDA CHAFU DHIDI YA CHADEMA/UKAWA NA KIKUNDI KILICHOJIVIKA VYEO HEWA
Zimetolewa taarifa kwenye vyombo mbalimbali vya habari na mtu
anayejitambulisha kwa jina la Fikiri Migiyo na ambaye amejitambulisha
pia kama Mwenyekiti wa Mabaraza ya kanda ya Ziwa Magaharibiinayojumuisha
mikoa ya Mwanza, Simiyu, Kagera na Geita akipinga kuundwa kwa umoja
wakutetea katiba ya wananchi (UKAWA)
Aidha mtu huyo anayejitambulisha na BAVICHA ameenda mbali kwa kutoasiku
14 kwa CHADEMA kujiondoa kwenye UKAWA na pia kulaani...